Thursday, September 20, 2012

SIMBA YAIGAGADUA JKT RUVU 2-0 UWANJA WA TAIFA

 

Mchezaji Nassor Masoud 'Cholo' wa Simba, akipambana na Amos Mgisa wa JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Simba imeshinda mabao 2 - 0. (Picha zote na Kassim Mbarouk)

Mwinyi Kazimoto wa Simba, akimtoka Stanlay Nkomola wa JKT Ruvu katika mchezo huo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.

Stanlay Nkomola wa JKT Ruvu, akimkata Mwinyi Kazimoto wa Simba katika mchezo huo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.

Mchezaji Mrisho Ngassa wa Simba, akijaribu kumtoka Stanlay Nkomola wa JKT Ruvu wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.
Mrisho Ngassa wa Simba, akipambana na Ramadhan Kauga wa JKT Ruvu wakati wa mchezo huo wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.

Mchezaji Damas Makwaya wa JKT Ruvu, akijaribu kuuondoa mpira miguuni mwa Amir Maftah wa Simba katika mchezo huo.

Mchezaji Mrisho Ngassa wa Simba, akijaribu kumpita Stanlay Nkomola wa JKT Ruvu wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.


Mchezaji Daniel Akuffor wa Simba, akipasua katikati ya wachezaji wa JKT Ruvu, wakati wa mchezo huo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.

Emmanuel Okwi akipiga mpira kuelekea lango la JKT Ruvu, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya timu hizo, Uwanja wa Taifa, dar es Salaam leo.


Mashabiki wa Simba, wakifurahia timu yao, wakati wa mchezo dhidi ya JKT Ruvu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.


Mashabiki wa Simba, wakifurahia mchezo wa timu yao dhidi ya JKT Ruvu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.

Daniel Akuffor wa Simba (kushoto), akimpongeza mwenzake, Amri Kiemba baada ya kumpatia pasi aliyomalizia kwa kufunga goli la kwanza kwa timu yao ya Simba, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.

Nassor Chollo wa Simba, akimtoka Said Otega wa JKT Ruvu.

Wachezaji wa Simba wakimpongeza Haruna Moshi (chini) wa timu hiyo, baada ya kuipatia timu yake bao la Pili katika mchezo huo.

Mrisho Ngassa wa Simba (aliyefichika) na Ramadhan Kauga wa JKT Ruvu, wakipambana wakati wa mchezo huo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.


Mrisho Ngassa wa Simba (aliyefichika, jezi nyekundu) na Ramadhan Kauga wa JKT Ruvu, wakipambana wakati wa mchezo huo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.


Hadi mwisho wa mchezo huo, ubao wa matokeo ulikuwa ukionesha Simba 2, JKT Ruvu 0.

No comments:

Post a Comment